Ni marafiki wa muda mrefu sana na wote kwenye game wanafanya vyema na mzungumzia AY na MWANA FA wote wanafanya mziki wa bongo fleva na wanaprenda kifanya ngoma pamoja lakini kwa sasa kidogo wamekuwa kimya sana yani kila mmoja anafanya kazi peke yake hasa AY ambaye amejikita sana katika nchi ya kenya na amefanya ngoma nyingi na watu wa kenya lakini MWANA FA yeye amajikita hasa TANZANIA amaefanya ngoma moja inayo julikana kama YALAITI aliyo fanya na LINAH
Monday, April 16, 2012
Ni marafiki wa muda mrefu sana na wote kwenye game wanafanya vyema na mzungumzia AY na MWANA FA wote wanafanya mziki wa bongo fleva na wanaprenda kifanya ngoma pamoja lakini kwa sasa kidogo wamekuwa kimya sana yani kila mmoja anafanya kazi peke yake hasa AY ambaye amejikita sana katika nchi ya kenya na amefanya ngoma nyingi na watu wa kenya lakini MWANA FA yeye amajikita hasa TANZANIA amaefanya ngoma moja inayo julikana kama YALAITI aliyo fanya na LINAH
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment