Ads 468x60px

paulkoka3@gmail.com

paulkoka3@gmail.com
none

tafuta/search

Wednesday, October 10, 2012

HIII KALI YA MWAKA

HII KALI: MWILI WA MKUU WA KUNDI LA WAUZA ‘UNGA’ MEXICO ALIYEUAWA WAIBIWA.


Katika hali isiyokuwa ya kawaida maiti ya mmoja wa viongozi wa mtandao wa madawa ya kulevya waliokuwa wakitafutwa sana nchini Mexico Heriberto Lazcano aliyeuawa umeibiwa kutoka katika nyumba yalikokuwa yakifanyikia mazishi yake.
Rais wa Mexico Felipe Calderon amelipongeza jeshi kwa operesheni iliyofanikisha kuuawa kwa Lazcano, aliyekuwa mkuu wa kundi la Zetas ambalo limefanya mauaji ya kikatili, katika vita dhidi ya madawa ya kulevya nchini Mexico.
Takriban watu elfu 60 wameshauawa katika mgogoro kati ya makundi mbali mbali ya madawa ya kulevya na polisi tangu Rais Calderon aingie madarakani mwaka 2006.

MADHARA KWA WALE WANAO PENDA KUCHAT

Angalizo muhimu sana: Haya ndiyo madhara unaweza kuyapata wewe unayependa kuchat kwa simu kila muda.. soma hapa uelimike



PHILADELPHIA (CBS) – If you’re an active cell phone user, you may be developing a growing health condition: texting thumb.
According to Jefferson University Hospital, texting thumb—a form of tendinitis in the thumbs—is one of the most common ailments seen by hand specialists today.
Dr. Eon Shin, a Jefferson orthopedic surgeon, says the increasing use of cell phones and computers have led to the overuse of our hands and wrists, leading to a rise in “techno-injuries,” especially among gen-Xers.
Fortunately, texting thumb can be treated fairly simply.
According to Dr. Shin, most people with texting thumb can treat it with simple rest or physical therapy.
Those with more serious conditions can undergo a procedure that requires a ½-inch incision in the bottom of the thumb that allows the inflamed tendon to move more freely.
It may be easy to overlook the symptoms, but those experiencing tingling or numbness in the hands are urged not to ignore it or think of it as a normal bodily occurrence.
As easy as it may be to treat texting thumb, according to Dr. Shin, the best way to avoid it is to lay off the phone from time to time.
cbslocal

You might also like:

HUU UKATILI MPAKA LINI MTOTO AOKOTWA CHOONI

HUU UKATILI MPAKA LINI?: MTOTO MCHANGA ALIYE TUPIWA NDANI YA SHIMO LA CHOO AOKOLEWA AKIWA MZIMA.. SHUHUDIA HAPA




Wickedness runs thick in some people’s vein like blood and its rather unfortunate when their acts of evil know no age barrier. According to the original source of this story, the little baby in the picture below was apparently dumped in a toilet filled with faeces for unknown reasons. 

Luckily, a good Samaritan was able to find and rescue the child from that horrible condition.

BLOG MBALI MBALI

Blog Archive