Sunday, April 15, 2012
Higusin naye afikisha mabao 100 la liga; m Mshambuliaji wa real madrid gonzalo higuain ,naye amefikisha mabao 100 katika historia ya clabi ya real madrid huku hapo hapo akiongeza bao lingine la 101 katika pambano zidi ya osasuna katika pambano ambalo higuain alifunga mabao yote amawili peke yake pia alimsifu kocha wake kwa kumpanga katika mechi hile .
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
1 comment:
anatisha xana nafi ni yake kurudisha kiwango chake
Post a Comment